Maofisa kozi ya kistratejia waweka kambi Kagera
Maofisa 10 waandamizi wa kijeshi, kiraia na vyombo vya ulinzi na usalama kutoka ndani ya nchi na nchi rafiki, ambao ni wanachuo wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Tanzania (NDC), wamepiga kambi ya mafunzo kwa vitendo mkoani Kagera kwa siku 10.Continue Reading