Rais Mwinyi akerwa na matokeo mabaya ya mitihani Zanzibar
Rais wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi amefungua shule ya msingi ya ghorofa ya Salum Turky Mpendae kwa Bint Hamrani kisiwani Unguja, akieleza kukerwa na matokeo mabaya ya mitihani visiwani humo.Continue Reading