Bunge latunga kanuni ngumu kwa wanahabari, wadau wang’aka
Bunge la Tanzania limetunga Kanuni mpya za mwaka 2023, ambazo zimeweka adhabu kwa waandishi wa habari na masharti ya namna ya kupiga picha ndani ya ukumbi wa Bunge.Continue Reading
Hii ni tovuti ya idhaa ya Kiswahili inayokuletea habari na makala kutoka Zanzibar, Tanzania, Afrika na duniani kote kwa lugha ya Kiswahili.
Bunge la Tanzania limetunga Kanuni mpya za mwaka 2023, ambazo zimeweka adhabu kwa waandishi wa habari na masharti ya namna ya kupiga picha ndani ya ukumbi wa Bunge.Continue Reading
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imetangaza kima cha chini cha mishahara kwa sekta binafsi, kikipanda kutoka Sh300,000 hadi kufika Sh347,000.Continue Reading
Kufuatia mabadiliko ya baadhi ya viongozi yaliotangazwa leo Februari, 26 ambapo Rais Samia Suluhu Hassan, amewateua na kuwahamisha wizara baadhi ya mawaziri na naibu mawaziri, wakuu wa mikoa, makatibu na naibu makatibu wakuu pamoja na kumteua Mkurugenzi wa Uchaguzi wadau mbalimbali wametoa maoni yao juu ya mabadiliko hayo.Continue Reading
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, amefanya ziara ya kushtukiza katika Makao Makuu ya ZECO Gulioni ambapo hakuridhishwa na haki ya kufanya kazi.Continue Reading
Ijumaa, Januari 27, KLM iliorodhesha Kenya na Tanzania kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii na tovuti rasmi kama nchi zinazokumbwa na machafuko ya wenyewe kwa wenyewe.Continue Reading
Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametengua nafasi za watendaji watano akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Mbarali (DC)Continue Reading
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC), imewatimua vigogo wa Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) kwa kushindwa kufika mbele ya kamati hiyo kwa Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Bodi wa shirika hilo.Continue Reading
Chama cha ACT Wazalendo kimeishauri Serikali kuja na mpango mkakati maalum wa kibajeti utakaosaidia kumaliza deni la ndani lilofikia asilimia 30 ambalo athari zake zitaendelea kuwaumiza wananchi.Continue Reading
Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Ijumaa, Januari 13 imebadilishwa jina na kuitwa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA)Continue Reading
Serikali imeshauriwa kufanya mabadiliko ya jina la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe (SIA) uitwe jina la mkoa husika (Mbeya) ili kuondoa mkanganyo kwa wageni wanaoingia na kutoka mkoani humo kwa shughuli mbalimbali.Continue Reading
Zanzibar Investment News Tanzania Investors Ltd © 2024