Wananchi wataja sababu, vikwazo kutumia nishati safi ya kupikia
Wasifu wa Msingi wa Idadi ya Watu na Hali ya Kiuchumi wa Tanzania wa Mwaka 2022 ulionyesha zaidi ya kaya nne kati ya tano nchini (asilimia 81.6) zinategemea mkaa na kuni, kama chanzo cha nishati ya kupikia.Continue Reading