Derick anayetuhumiwa kujeruhi Club 1245 kusomewa maelezo leo
Derick Junior (36), ofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) anayekabiliwa na mashtaka mawili ya kujeruhi katika eneo la starehe la Club 1245, Masaki Dar es Salaam, leo Novemba 20, 2024 atasomewa hoja za awali za kesi inayomkabili.Continue Reading