TFC yaomba kurejeshwa wizara ya ushirika, uwakilishi bungeni
Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania Bara (TFC) limezungumzia changamoto kubwa wanazokutana nazo kutokana na kukosa uwakilishi bungeni na Wizara ya Ushirika na kuomba kurejeshwa kwa wadhifa huo kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.Continue Reading