Serikali ya Tanzania kuomba kibali Unesco kujenga barabara za lami hifadhi ya Serengeti
Ombi hilo litawasilishwa kwa UNESCO kwa lengo la kuboresha barabara kwa kutumia zege au lami.Continue Reading
Hii ni tovuti ya idhaa ya Kiswahili inayokuletea habari na makala kutoka Zanzibar, Tanzania, Afrika na duniani kote kwa lugha ya Kiswahili.
Ombi hilo litawasilishwa kwa UNESCO kwa lengo la kuboresha barabara kwa kutumia zege au lami.Continue Reading
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT), James Mbalwe, amesema ni rahisi kupata msaada huko kuliko Polisi, na bodi imesimamia malalamiko ya washindi.Continue Reading
Kiongozi mpya wa chama, Dorothy Semu, atangaza msimamo, huku wachambuzi wakieleza mustakabali wa chama hicho kikuu cha upinzani ZanzibarContinue Reading
Ni wito uliotolewa na Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE), kikitaka marekebisho ya sheria kwa ajili ya kundi hilo la kinamama.Continue Reading
Unguja. Baraza la Sanaa, Sensa, Filamu na Utamaduni la Zanzibar, limemfungia msaanii wa kizazi kipya Zuhura Othman Masoud maarufu Zuchu kuendesha shughuli zote za sanaa visiwani hapa.Continue Reading
The CCM Secretary of Ideology and Publicity (Zanzibar), Mr Khamis Mbeto Khamis, said the late President Ali Hassan Mwinyi was the architect of the current class of affluent people.Continue Reading
Rais Mwinyi amewataka wafanyabiashara kuacha tabia ya kuongeza bei za bidhaa linalowaumiza wananchi wasiokuwa na uwezo kumudu gharama kubwaContinue Reading
The most wanted fugitive in the Rwandan genocide of 1994 has been arrested in Paarl, South Africa after decades on the run.Continue Reading
Wakati Tanzania ikiongoza mataifa ya barani Afrika kufikia malengo ya utoaji wa chanjo ya Uviko-19, wadau mbalimbali wametoa maoni tofauti huku wakipongeza.Continue Reading
Zaidi ya Sh4.7 bilioni zimewanufaisha vijana zaidi ya 1, 000 kutoka Kata 11 za Wilaya ya Nyamagana na Ilemela zinazounda jiji la Mwanza kupitia mradi wa Vijana Maisha na Kazi uliokuwa unatekelezwa na Shirika la Plan International.Continue Reading
Zanzibar Investment News Tanzania Investors Ltd © 2024