Bosi TRA azikomalia taasisi za Serikali kulipa kodi

Bosi TRA azikomalia taasisi za Serikali kulipa kodi

Dar es Salaam. Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amesema katika uongozi wake ndani ya mamlaka hiyo, taasisi za Serikali zinazostahili kulipa kodi zisitarajie kupata upendeleo.

Amesisitiza msimamo wake huo, akieleza kuwa anazichukulia taasisi hizo kama walipakodi wengine na hata zinapofika TRA, zijione na hadhi ya mlipakodi na si vinginevyo.

Amesema kiu yake ni kuona taasisi za Serikali zinazostahili kulipa kodi zinakuwa mfano kwa zile binafsi, kwa kuwa zenyewe zinajua zaidi umuhimu wa kodi.

Mwenda ameyasema hayo leo Alhamisi, Septemba 12, 2024 katika Semina na taasisi za Serikali zinazolipa kodi, ikiwa ni mwendelezo wa mkakati wake wa kukutana na walipakodi wote.

“Usawa tunaouzungumzia ni kuhakikisha ninyi (taasisi za Serikali) mnalipa mnachostahili na wengine wanalipa wanachostahili, hii ndiyo ahadi yangu na ndicho nitakachokisimamia,” amesema.

Amebainisha anachokitaka kuwa ni kuona walipakodi kutoka serikalini hawaonewi katika kulipa kodi na hawaionei TRA katika utekelezaji wa majukumu yake.

“Tunatarajia nyie muwe mfano kwa taasisi binafsi zinazolipa kodi kwa sababu bila kodi, hata nyie labda mshahara msingelipwa,” amesema.

Katika semina hiyo, Mwenda amesema zipo taasisi zinazokusanya kodi ya zuio, lakini haziiwasilishi TRA kama inavyopaswa na nyingine hazikusanyi kabisa, kadhalika zipo zile zinazokusanya lakini haziwasilishi kinachostahili.

“Ninyi ni taasisi za Serikali lakini kwangu mimi ninyi ni walipakodi kama wengine. Ningependa mkija TRA mjione ninyi ni walipakodi kama wengine.

“Rais wakati ananiapisha alisema tunataka nchi ijitegemee, tumechoka kukopa, ili nchi ijitegemee tunapaswa kukusanya vya kutosha. Sasa kama kuna mtu anayepaswa kumuunga mkono Rais ni ninyi taasisi za umma,” amesema.

Kwa mujibu wa Mwenda, zipo taasisi za Serikali zisizojisajili na kuwasilisha ritani ndani ya muda na hazilipi kwa wakati ilhali zina sifa za kufanya hivyo.

Amesema ni vyema inapoonekana kuna mashaka na huduma zinazotoa ziende Idara ya Walipakodi wakubwa kupewa ufafanuzi na kuepusha kuziingiza kwenye hasara.

“Taasisi nyingi zinadaiwa, sisemi mlipe yote, tunataka muishi lakini na Serikali iishi. Mkutane na Kamishna wa Walipakodi Wakubwa mjadiliane njia ya kulipa kwa awamu, lakini msiwe watu wa kusubiri madeni yawe makubwa ili mpewe fursa ya kulipa kwa awamu,” amesema.

Kuhusu mifumo, amesema ni kiu yake kuona mifumo ya taasisi hizo za Serikali inasomana na TRAili kuwatendea haki kwa kuhakikisha wanalipa wanachostahili.

Hata hivyo, Mwenda amesema si kosa kutofautiana, lakini wana majukwaa ya kutatua migogoro ukiwemo uongozi wa ngazi husika kabla ya kwenda juu zaidi.

“Tusingependa kuwa na migogoro na ninyi, tunataka kuwa na walipakodi wengi zaidi. Tungependa tutumie muda mwingi kutoa elimu ya kupata walipakodi wengi zaidi na sio kusuluhisha migogoro na ninyi ambao mnajua wajibu wenu,” amesema.

Amesema ukifika wakati watalazimika kwenda mahakamani kwa ajili ya kutatua migogoro hiyo baina ya TRA na taasisi hizo.

“Nitajitahidi sana kama Kamishna Mkuu kuhakikisha hatuendi huko, tumalize sana sana kwenye ngazi ya uongozi. Lakini kama mnatulazimisha kwenda huko tutakuwa tayari,” amesema.

Akizungumza katika semina hiyo, Ofisa kutoka Chuo Kikuu Mkwawa, Emma Mbena amesema elimu hiyo ya kikodi inapaswa kujikita kwenye kuonyesha namna gani baadhi ya taasisi za Serikali zimekuwa walipakodi wakubwa.

Kadhalika, amependekeza elimu kwa taasisi za umma ianze na kuelewesha kwamba je, wao ni walipakodi au wakusanyaji.

“Pia, tunapaswa kujua kwa mazingira gani cheti cha msamaha wa kodi kinatolewa kwa taasisi za Serikali na wakati gani napaswa kujua kwamba huyu anayo au hana,” amesema.

Kamishna wa Walipakodi Wakubwa TRA, Michael Muonya amesema semina hiyo inalenga kuwaweka wazi juu ya hatua mbalimbali zinazochukuliwa na TRA katika utozaji kodi.

Amesema lengo lingine ni kuwasikiliza wadau wote kwa kuwa TRA ni taasisi ya kusikiliza.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Inside Tanzania’s Life-Saving Birthcare Model
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Inside Tanzania’s Life-Saving Birthcare Model

Inside Tanzania’s Life-Saving Birthcare Model

Tanzania is winning the battle against maternal and newborn deaths, as the latest numbers reveal a significant decline.

“Tanzania is committed to reducing maternal and newborn mortality and ensuring safe deliveries as part of the national development plan. The Safer Births Bundle of Care is one of the key strategies supporting this effort,” said Dr. Benjamin Kamala, the Senior Research Scientist at Haydom Lutheran Hospital and Principal Investigator for the program, leading its implementation across five regions in Tanzania.

A groundbreaking study published in the New England Journal of Medicine shows that the innovative health program in Tanzania – centered on regular, on-the-job training for healthcare workers – reduced maternal deaths by 75% and early newborn deaths by 40%. The three-year study, conducted across 30 high-burden healthcare facilities in Tanzania, tracked approximately 300,000 mother-baby pairs under the Safer Births Bundle of Care (SBBC) programme. The programme focuses on improving care for mothers and babies during the day of birth, the critical time when a woman goes into labor and delivers her baby.

Maternal health is a key focus of the United Nations Sustainable Development Goals (SDGs), specifically Target 3.1, which aims to reduce the global maternal mortality ratio to fewer than 70 deaths per 100,000 live births by 2030.

Tanzania’s program combines continuous, simulation-based training for frontline healthcare workers alongside innovative clinical tools to improve labour monitoring (fetal heart rate monitoring) and newborn resuscitation.It also uses data to drive ongoing improvements, ensuring that healthcare workers have the skills, confidence, and competence to manage birth-related complications for both mothers and newborns.

“We work closely with healthcare workers, equipping them with the necessary tools to improve the quality of care, ensuring they can effectively manage both mothers and babies during and after childbirth,” Dr. Kamala said, which helps them build on over a decade of innovative research and collaboration to improve care during childbirth.

“To give you a sense of the scale of the burden of maternal and newborn mortality in Tanzania when the Safer Births Bundles of Care program was in early development in 2015/16, there were around 556 maternal deaths per 100,000 live births and 25 neonatal deaths per 1,000 live births,” he said.

The published study demonstrates the “transformative impact” of the Safer Births Bundle of Care program conducted across 30 hospitals in five high-burden regions of Tanzania, where there were about 300,000 mother-baby pairs.

Maternal deaths at the start of the program were recorded at 240 per 100,000 live births, with postpartum hemorrhage and hypertensive disorders being the leading causes of death, he said. Over the 24-month study period, this number dropped to approximately 60 per 100,000 live births, representing a 75% reduction. The number of newborn deaths – which are primarily due to breathing difficulties and complications related to prematurity – declined by 40% – from 7 deaths per 1,000 live births to 4 deaths per 1,000 live births.

“These results are remarkable,” Dr. Kamala said.

According to Dr. Kamala, the 75% reduction in maternal deaths was not expected, and a key lesson was the important role of the in-situ team simulations – including for postpartum bleeding – with reflective debriefings that trained facilitators led.

“This seems to be a major part of the success of the program,” he said. “We are delighted by these results and hope that other countries adopt and scale the Safer Births Bundle of Care program… Beyond the numbers, the Safer Births Bundle of Care program has fostered a dramatic culture shift in our healthcare system,” he said. “Healthcare workers are now more confident and better equipped to handle birth-related complications for both mothers and babies.”

Maternal death drop

Dr. Kamala attributed the 60-70% reduction in newborn deaths in Geita and Manyara to several factors.

“Firstly, Manyara was the first site for implementation, giving the region more time to adapt and experience the impact of the program. Most importantly, both regions had a high burden of stillbirths and neonatal deaths, making them ideal targets for focused intervention. As a result, newborn deaths decreased by 60-70%, showcasing a clear positive impact on newborn survival,” he said.

Dr. Kamala said another possible explanation is the differences in the culture of practices, where some health facilities reported inaccurate data due to the fear of blame and shame. However, with the project’s implementation, reporting became more accurate after mplementation. Some regions, such as Tabora, reported an increase in the number of referrals to the study hospitals from other care centers after the program was implemented. These were more likely to be late admissions, which increase the likelihood of poor health outcomes, he said.

After the implementation of the program, there was a 40% decrease in newborn deaths within the first 24 hours after birth, according to the study.

Dr. Kamala said Tanzania’s remarkable progress in reducing maternal mortality by 80% is driven by strategic investments and innovative programs focused on improving maternal and child survival rates.

“Over 2,000 new healthcare facilities have been developed, free health services are being provided to expectant mothers and children under the age of five, and emergency obstetric care – including better transport to hospitals in rural areas are helping to ensure timely, life-saving interventions.

“Most importantly, the Ministry of Health works in collaboration with healthcare workers, hospitals, and development partners to strengthen the skills of frontline healthcare workers, which has been a key factor in driving this progress.

“Political leadership, alongside strategic partnerships and financing, has been crucial in driving progress in maternal and newborn health,” he said.

The program was made possible by the support of the Global Financing Facility for Women, Children, and Adolescents, Norad, UNICEF, and Laerdal Global Health, as well as the Ministry of Health and Haydom Lutheran Hospital. Their partnership and investment enabled the scaling of the Safer Births Bundle of Care to 30 hospitals and supported the research. “The government has now scaled the program to over 150 sites, and there are plans for further expansion to three regions this year and then nationally,” he said.

Dr. Kamala outlined key policy recommendations for other governments can adopt to prioritize maternal health.

“Firstly, it focuses on cost-effective and relatively simple interventions that are essential to preventing maternal and newborn deaths. For example, stronger primary healthcare that is delivered in the community and a well-trained healthcare workforce are also critical. Additionally, working in close collaboration with national, regional, and local health authorities is key.”

He said Tanzania’s approach, where the Safer Births Bundle of Care program was successfully scaled and sustained by aligning the initiative with national guidelines for obstetrical and newborn care. In addition, the creation of mentorship programs and regular supervision has helped to sustain the results.

Looking ahead

Tanzania now plans to expand to three new regions in 2025, followed by a nationwide rollout.

The success of the program has attracted interest from other countries, with Botswana, Ethiopia, Lesotho, and Namibia expressing interest in adapting the program to their healthcare system. In Nigeria, the program has already been launched in two states, Gombe and Borno, marking a significant step in its scaling.

Source: allafrica.com

Continue Reading

Tanzania Declares Marburg Outbreak – Africa CDC Mobilizes Immediate Response
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Declares Marburg Outbreak – Africa CDC Mobilizes Immediate Response

Tanzania Declares Marburg Outbreak – Africa CDC Mobilizes Immediate Response

Addis Ababa, January 20, 2025</Strong> — Tanzania has declared a Marburg virus disease (MVD) outbreak after confirming one case and identifying 25 suspected cases in the Kagera Region of Northwestern Tanzania. The Marburg virus, a highly infectious and often fatal disease, is similar to Ebola and is transmitted to humans from fruit bats and monkeys. This outbreak marks the nation’s second encounter with the deadly virus, following the outbreak in Bukoba District of Kagera Region in March 2023, which resulted in nine cases and six deaths.

In response to this urgent threat, the Africa CDC is mobilizing strong support to help Tanzania contain the outbreak. A team of twelve public health experts will be deployed as part of an advance mission in the next 24 hours. The multidisciplinary team includes epidemiologists, risk communication, infection prevention and control (IPC), and laboratory experts to provide on-ground support for surveillance, IPC, diagnostics, and community engagement.

The Director-General of Africa CDC, Dr. Jean Kaseya, has engaged with Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan and the Minister of Health to ensure coordinated efforts and secure political commitment for the response.

“Africa CDC stands firmly with Tanzania in this critical moment. To support the government’s efforts, we are committing US$ 2 million to bolster immediate response measures, including deploying public health experts, strengthening diagnostics, and enhancing case management. Building on Tanzania’s commendable response during the 2023 outbreak, we are confident that swift and decisive action, combined with our support and those of other partners, will bring this outbreak under control,” Dr. Kaseya stated.

Africa CDC has recently supported efforts to enhance the diagnostic and sequencing capacity of public health laboratories in Tanzania. PCR Test kits and genomic sequencing reagents have been dispatched, with additional supplies in the pipeline. To ensure rapid identification and confirmation of cases, the institution will also provide technical assistance to strengthen detection and genome sequencing for better characterization of the pathogen. Additionally, support will be provided to improve case management protocols and enhance the capacity to deliver safe and effective treatment.

Africa CDC is committed to working closely with the Government of Tanzania, regional partners, international organizations, and global stakeholders, including the World Health Organization, to stop the spread of the Marburg virus.

Source: allafrica.com

Continue Reading