Bodi ya Korosho kutumia BBT kufikia malengo

Bodi ya Korosho kutumia BBT kufikia malengo

Bodi ya Korosho kutumia BBT kufikia malengo

Lindi. Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) imeendesha mafunzo kwa vijana na maofisa kilimo 150 kutoka Mkoa wa Lindi kupitia programu ya “Jenga Kesho Ilio Bora” (BBT), lengo likiwa ni kuongeza uzalishaji wa korosho nchini ili kufikia malengo ya Serikali ya kuzalisha tani milioni moja ifikapo mwaka 2030.

Akizungumza na Mwananchi leo Jumatatu, Januari 13, 2025, Katibu Tawala Msaidizi Mkoa wa Lindi, Ramadhani Khatibu, amesema Bodi ya Korosho imeamua kutoa mafunzo hayo kwa vijana ili kuboresha utendaji wao katika kusimamia pembejeo, viuatilifu, na kufufua mashamba pori kwa lengo la kuongeza tija katika uzalishaji wa korosho.

“Mafunzo haya ni muhimu kwa maofisa kilimo katika kuboresha usimamizi wa pembejeo, viuatilifu na kuhamasisha wakulima kufufua mashamba pori ili kuongeza uzalishaji wa zao la korosho,” amesema Khatibu.

Mwakilishi kutoka Bodi ya Korosho, George Nyaga, amesema kuwa lengo la Serikali ni kuongeza uzalishaji wa korosho hadi kufikia tani milioni moja ifikapo 2030, ambapo kwa sasa uzalishaji wa korosho umefikia tani laki nne.

Ameongeza kuwa kupitia programu ya BBT, Bodi ya Korosho imewaajiri vijana 500 ambao ni wataalamu wa kilimo, na kuwapeleka kwenye mikoa inayozalisha korosho kwa wingi kama vile Lindi, Mtwara, Pwani, Ruvuma na Tanga.

Shukrani Kwere, mtaalamu wa kilimo kutoka mradi wa BBT, amesema kuwa atajitahidi kufanikisha malengo ya Serikali kwa kuongeza uzalishaji wa korosho kupitia usimamizi bora wa viuatilifu na pembejeo.

Joseph Mkude, Ofisa Kilimo kutoka Kilwa, ameeleza kuwa mafunzo hayo yatamsaidia kutoa msaada kwa wakulima kwa kuhakikisha wanapata pembejeo na viuatilifu bora, huku akiwashauri kufufua mashamba pori ili kuongeza idadi ya mikorosho na kufikia malengo ya Serikali.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania Confirms Second Marburg Outbreak After WHO Chief Visit
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Confirms Second Marburg Outbreak After WHO Chief Visit

Dar es Salaam — Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan has declared an outbreak of Marburg virus, confirming a single case in the northwestern region of Kagera after a meeting with WHO director-general Tedros Adhanom Ghebreyesus.

The confirmation follows days of speculation about a possible outbreak in the region, after the WHO reported a number of deaths suspected to be linked to the highly infectious disease.

While Tanzania’s Ministry of Health declared last week that all suspected cases had tested negative for Marburg, the WHO called for additional testing at international reference laboratories.

“We never know when an outbreak might occur in a neighbouring nation. So we ensure infection prevention control assessments at every point of care as routine as a morning greeting at our workplaces.”Amelia Clemence, public health researcher

Subsequent laboratory tests conducted at Kagera’s Kabaile Mobile Laboratory and confirmed in Dar es Salaam identified one positive case, while 25 other suspected cases tested negative, the president told a press conference in Dodoma, in the east of the country today (Monday).

“The epicentre has now shifted to Biharamulo district of Kagera,” she told the press conference, distinguishing this outbreak from the previous one centred in Bukoba district.

Tedros said the WHO would release US$3 million from its emergencies contingency fund to support efforts to contain the outbreak.

Health authorities stepped up surveillance and deployed emergency response teams after the WHO raised the alarm about nine suspected cases in the region, including eight deaths.

The suspected cases displayed symptoms consistent with Marburg infection, including headache, high fever, diarrhoea, and haemorrhagic complications, according to the WHO’s alert to member countries on 14 January. The organisation noted a case fatality rate of 89 per cent among the suspected cases.

“We appreciate the swift attention accorded by the WHO,” Hassan said.

She said her administration immediately investigated the WHO’s alert.

“The government took several measures, including the investigation of suspected individuals and the deployment of emergency response teams,” she added.

Cross-border transmission

The emergence of this case in a region that experienced Tanzania’s first-ever Marburg outbreak in March 2023 has raised concerns about cross-border transmission, particularly following Rwanda’s recent outbreak that infected 66 people and killed 15 before being declared over in December 2024.

The situation is particularly critical given Kagera’s position as a transport hub connecting four East African nations.

Amelia Clemence, a public health researcher working in the region, says constant vigilance is required.

“We never know when an outbreak might occur in a neighbouring nation. So we ensure infection prevention control assessments at every point of care as routine as a morning greeting at our workplaces.”

The Kagera region’s ecosystem, home to fruit bats that serve as natural reservoirs for the Marburg virus, adds another layer of complexity to disease surveillance efforts.

The virus, closely related to Ebola, spreads through contact with bodily fluids and can cause severe haemorrhagic fever.

Transparency urged

Elizabeth Sanga, shadow minister of health for Tanzania’s ACT Wazalendo opposition party, says greater transparency would help guide public health measures.

“This could have helped to guide those who are traveling to the affected region to be more vigilant and prevent the risk of further spread,” she said.

WHO regional director for Africa Matshidiso Moeti says early notification of investigation outcomes is important.

“We stand ready to support the government in its efforts to investigate and ensure that measures are in place for an effective and rapid response,” she said, noting that existing national capacities built from previous health emergencies could be quickly mobilised.

The situation coincides with leadership changes in Tanzania’s Ministry of Health, with both the chief medical officer and permanent secretary being replaced.

This piece was produced by SciDev.Net’s Sub-Saharan Africa English desk.

Source: allafrica.com

Continue Reading