Bodi ya Korosho kutumia BBT kufikia malengo

Bodi ya Korosho kutumia BBT kufikia malengo

Bodi ya Korosho kutumia BBT kufikia malengo

Lindi. Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) imeendesha mafunzo kwa vijana na maofisa kilimo 150 kutoka Mkoa wa Lindi kupitia programu ya “Jenga Kesho Ilio Bora” (BBT), lengo likiwa ni kuongeza uzalishaji wa korosho nchini ili kufikia malengo ya Serikali ya kuzalisha tani milioni moja ifikapo mwaka 2030.

Akizungumza na Mwananchi leo Jumatatu, Januari 13, 2025, Katibu Tawala Msaidizi Mkoa wa Lindi, Ramadhani Khatibu, amesema Bodi ya Korosho imeamua kutoa mafunzo hayo kwa vijana ili kuboresha utendaji wao katika kusimamia pembejeo, viuatilifu, na kufufua mashamba pori kwa lengo la kuongeza tija katika uzalishaji wa korosho.

“Mafunzo haya ni muhimu kwa maofisa kilimo katika kuboresha usimamizi wa pembejeo, viuatilifu na kuhamasisha wakulima kufufua mashamba pori ili kuongeza uzalishaji wa zao la korosho,” amesema Khatibu.

Mwakilishi kutoka Bodi ya Korosho, George Nyaga, amesema kuwa lengo la Serikali ni kuongeza uzalishaji wa korosho hadi kufikia tani milioni moja ifikapo 2030, ambapo kwa sasa uzalishaji wa korosho umefikia tani laki nne.

Ameongeza kuwa kupitia programu ya BBT, Bodi ya Korosho imewaajiri vijana 500 ambao ni wataalamu wa kilimo, na kuwapeleka kwenye mikoa inayozalisha korosho kwa wingi kama vile Lindi, Mtwara, Pwani, Ruvuma na Tanga.

Shukrani Kwere, mtaalamu wa kilimo kutoka mradi wa BBT, amesema kuwa atajitahidi kufanikisha malengo ya Serikali kwa kuongeza uzalishaji wa korosho kupitia usimamizi bora wa viuatilifu na pembejeo.

Joseph Mkude, Ofisa Kilimo kutoka Kilwa, ameeleza kuwa mafunzo hayo yatamsaidia kutoa msaada kwa wakulima kwa kuhakikisha wanapata pembejeo na viuatilifu bora, huku akiwashauri kufufua mashamba pori ili kuongeza idadi ya mikorosho na kufikia malengo ya Serikali.

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

Tanzania Confirms Outbreak of Marburg Virus Disease
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Confirms Outbreak of Marburg Virus Disease

Dodoma — Tanzania today confirmed an outbreak of Marburg virus disease in the northwestern Kagera region after one case tested positive for the virus following investigations and laboratory analysis of suspected cases of the disease.

President of the Republic of Tanzania, Her Excellency Samia Suluhu Hassan, made the announcement during a press briefing alongside World Health Organization (WHO) Director-General, Dr Tedros Adhanom Ghebreyesus, in the country’s administrative capital Dodoma.

“Laboratory tests conducted in Kabaile Mobile Laboratory in Kagera and later confirmed in Dar es Salaam identified one patient as being infected with the Marburg virus. Fortunately, the remaining suspected patients tested negative,” the president said. “We have demonstrated in the past our ability to contain a similar outbreak and are determined to do the same this time around.”

A total of 25 suspected cases have been reported as of 20 January 2025, all of whom have tested negative and are currently under close follow-up, the president said. The cases have been reported in Biharamulo and Muleba districts in Kagera.

“We have resolved to reassure the general public in Tanzania and the international community as a whole of our collective determination to address the global health challenges, including the Marburg virus disease,” said H.E President Hassan.

WHO is supporting Tanzanian health authorities to enhance key outbreak control measures including disease surveillance, testing, treatment, infection prevention and control, case management, as well as increasing public awareness among communities to prevent further spread of the virus.

“WHO, working with its partners, is committed to supporting the government of Tanzania to bring the outbreak under control as soon as possible, and to build a healthier, safer, fairer future for all the people of Tanzania,” said Dr Tedros. “Now is a time for collaboration, and commitment, to protecting the health of all people in Tanzania, and the region, from the risks posed by this disease.”

Marburg virus disease is highly virulent and causes haemorrhagic fever. It belongs to the same family as the virus that causes Ebola virus disease. Illness caused by Marburg virus begins abruptly. Patients present with high fever, severe headache and severe malaise. They may develop severe haemorrhagic symptoms within seven days.

“The declaration by the president and the measures being taken by the government are crucial in addressing the threat of this disease at the local and national levels as well as preventing potential cross-border spread,” said Dr Matshidiso Moeti, WHO Regional Director for Africa. “Our priority is to support the government to rapidly scale up measures to effectively respond to this outbreak and safeguard the health of the population,”

Tanzania previously reported an outbreak of Marburg in March 2023 – the country’s first – in Kagera region, in which a total of nine cases (eight confirmed and one probable) and six deaths were reported, with a case fatality ratio of 67%.

In the African region, previous outbreaks and sporadic cases have been reported in Angola, the Democratic Republic of the Congo, Ghana, Kenya, Equatorial Guinea, Rwanda, South Africa and Uganda.

Marburg virus is transmitted to people from fruit bats and spreads among humans through direct contact with the bodily fluids of infected people, surfaces and materials. Although several promising candidate medical countermeasures are currently undergoing clinical trials, there is no licensed treatment or vaccine for effective management or prevention of Marburg virus disease. However, early access to treatment and supportive care – rehydration with oral or intravenous fluids – and treatment of specific symptoms, improve survival.

Source: allafrica.com

Continue Reading