Wapiga makachu wapigwa msasa, kufunguliwa kesho
Wakati mchezo wa makachu ukifunguliwa kesho Desemba 31, 2024 Jumuiya ya Waratibu na Waendesha Misafara ya watalii Zanzibar (Zato), imewapa mafunzo maalumu vijana hao ili kuendana na matakwa na miongozo ya utalii.Continue Reading