Mnzava ataka jamii kushiriki kukomesha mauaji ya albino
Siku chache baada ya Serikali kutoa maagizo ya kukabiliana na mauaji ya watu wenye ualbino nchini Tanzania, Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa, Godfrey Mnzava amekemea vitendo hivyo, huku akiitaka jamii kushirikiana kutokomeza vitendo hivyo.Continue Reading