Lissu aendelea na Mnyika katibu mkuu, awateua Dk Nshala, Lema kamati kuu
Mwenyekiti mpya wa Chadema, Tundu Lissu, ameanza kusuka safu za uongozi ndani ya chama hicho kwa kupendekeza majina ya Katibu Mkuu na Manaibu Katibu Wakuu wawili, Bara na Zanzibar.Continue Reading