Kona ya Maloto: Barabara za Dar ni hatari zaidi kwa vyombo vya moto

Dar es Salaam, lango kuu la kiuchumi Tanzania, barabara zake ni hatari kwa magari. Barabara kuu zote zipo kwenye ujenzi, zile za mitaani na zenye kuunganisha vitongoji, zimesheheni mashimo.

Hatari zaidi, upo mfumo wa kuziba mashimo kwa kuweka viraka. Mafundi wanachonga lile shimo, wanalitanua na kulipa umbo la pembe nne. Baada ya utanuzi huo, wanaliacha hadi miezi miwili. Hatari kwa madereva, hasa wageni wa barabara husika.

Wazoefu huendesha kwa uzoefu. Anafika mahali anapunguza mwendo kwa sababu ameshajua shimo lililochongwa lipo karibu. Hakuna taa wala alama za tahadhari kuwa mbele kuna shimo.

Miezi michache iliyopita nchi ilipita kwenye mafuriko. Dar es Salaam iliathirika. Miundombinu ikatoneshwa, sasa ni mibovu ajabu. Zile hadithi kuwa watu wanaoishi mabondeni ndiyo hawapo salama, tafsiri inahama.

Dar es Salaam kila sehemu ni bondeni. Hata maeneo yaliyopo uwanda wa juu yalikumbwa na mafuriko na sasa barabara ni taabani. Unapoendesha gari Dar es Salaam, nenda taratibu. Utaua chombo, unaweza kupoteza maisha pia.

Anzia Mikocheni hadi Tegeta, Mbezi Beach mpaka Ununio, usiku unaweza kukuta magari mitaroni. Ukimuuliza dereva, anasema alikuwa anakwepa shimo. Mwenyewe aliendesha mwendo wa kasi akidhani barabara ni salama. Dar siyo salama.

Ujenzi holela, fedha zinazidi nguvu sayansi. Utatuzi wa matatizo kwa kutumia mawazo kidogo yenye mtazamo wa muda mfupi, badala ya kufikiria miaka mingi ijayo. Hapa ndipo nchi inaumizwa na inauawa taratibu. Bila hatua za haraka tutarithisha watoto na wajukuu nchi mfu.

Mvua kidogo, barabara zinatengeneza matundu kila mahali. Dar es Salaam haina barabara ambayo unaweza kuendesha japo kilomita 120 kwa saa, hata kama barabarani upo peke yako na hakuna alama za udhibiti mwendo. Sababu barabara ni mbovu, haziaminiki. Ni mitego tupu kwa madereva.

Barabara zinazojengwa, zinabanwa na kuwekewa matofali yenye kuakisi taa. Yale matofali barabarani ni salama kama dereva unaendesha kipindi ambacho hakuna gari lingine linatokea unapoelekea. Hatari zaidi, dereva wa gari linalokuelekea awashe taa kali. Hutaona tofali. Madereva wengi huyagonga matofali na kuharibu magari.

Askari wa usalama barabarani na magari ya breakdown, kwao ni mtaji gari likigonga tofali barabarani. Mimi ni shuhuda wa tukio la gari aina ya Toyota IST, liligonga tofali eneo la Makumbusho, Kijitonyama, mbele ya Millenium Tower. Kulitoa gari pale kulipeleka Kituo cha Polisi Kijitonyama, kadirio la kilomita moja na nusu, breakdown walilipwa Sh250,000 na trafiki akataka apewe Sh150,000, eti ili amalize kesi.

Trafiki akasema, asingelipwa hiyo pesa, angeandika ripoti kwenda Tanroads kuwa gari lile, IST, liliharibu tofali la ukingo wa barabara. Ukiangalia, tofali ni zima, IST uso wa mbele umeharibika, hadi mifuko ya usalama (airbags), ilitoka.

Ni Tanzania na Watanzania. Trafiki (askari wa usalama barabarani), anafika kwenye ajali, hataki kujua watu ndani ya gari wapo salama kiasi gani, anaomba Sh150,000, eti ndiyo amsaidie mwenye gari kuepuka kesi. Unajiuliza, hata ukienda mahakamani, kesi ya uzito gani?

Kuhusu ubovu wa barabara Dar es Salaam, mashimo na uwekaji viraka unaochukua muda mrefu, inadhihirisha namna ambavyo ujenzi unafanyika chini kabisa ya viwango mbele ya viongozi wanaoomba bajeti, wanaopewa na kuzisimamia. Wataalamu pia wapo.

Janga la taifa ni rushwa na ufisadi. Viongozi na wataalamu wanaotegemewa kuisaidia nchi, wanafuja fedha za miradi, matokeo yake miundombinu inajengwa nchini ya kiwango. Makandarasi wanahonga kushinda zabuni. Vigezo vya kisayansi havina tija mbele ya mlungula.

Kifo cha nchi ni kuwa na viongozi wenye kuwaza leo badala ya kesho. Matatizo mengi Dar es Salaam ni ujenzi unaoingilia njia za maji. Mwenye fedha anahamisha uelekeo wa maji, matokeo yake madhara makubwa hutokea pale mvua zinaponyesha mfululizo. Maji yanapanda hadi kwenye miinuko.

Kama mapinduzi ya fikra hayatakaribishwa Tanzania, ikapatikana tiba ya jinsi ya kutatua matatizo ya watu kwa usahihi, rushwa ikachukiwa kutoka ndani ya fikra na moyoni, suluhu zikatazamwa za kudumu na kujenga dhamira ya kuiacha nchi salama kwa vizazi vijavyo, historia itatoa hukumu mbaya kwa hiki kizazi chetu kinachoishi sasa.

Ukipita Unguja, kasi ya ujenzi wa barabara ni kubwa. Barabara bora na imara kabisa. Unaweza kupata jawabu kwamba miaka mitatu ijayo, Unguja (Zanzibar), itakuwa jiji lenye barabara nzuri na za uhakika, wakati Dar es Salaam ikibaki hohehahe na barabara zake zinazoua magari.Continue Reading

Big puzzle of Tanzania’s two sets of election rules

Tanzania’s upcoming local government elections are eliciting curious questions on why the country has a different set of rules for the municipal polls, from those governing general elections.

The nationwide civic poll scheduled for November 27 is for chairpersons and council members at village, street and hamlet levels, while the general election slated for October 2025 involves filling the presidential, parliamentary and ward seats.

In Tanzania, the tradition has always been to hold the two exercises at least one year apart, regardless of expenses involved, with the Ministry of Regional Administration and Local Governments (Tamisemi) supervising the former and the electoral commission overseeing the latter.

A notably baffling aspect of this historic arrangement has been that each of these entities is allowed to apply its own set of rules for listing voters, vetting and approving candidates, supervising ballot box procedures, counting the votes right down to announcing the final tally.

The National Assembly sought to clear up this apparent confusion through a series of changes to the election laws that were endorsed in February this year, under pressure from reformist activists.

However, in practice, the contradictions have remained and are looming larger as the latest civic poll approaches.

Tanzania’s 1977 Constitution, which is still in use restricts the electoral commission’s responsibilities to supervising and coordinating all aspects of the presidential, parliamentary and ward councillor elections.

But it makes no mention of the lower grassroots elections, or who should be in charge of conducting them. Until February, this was covered by two separate pieces of legislation for local government district and urban authorities, which named Tamisemi as the main overseer of the local government elections.

These laws were repealed by the introduction of the National Electoral Commission (NEC) Act of 2024, replacing the previous National Elections Act and re-establishing the commission under a new name — Independent National Electoral Commission (Inec).

The new law also formally shifted the onus of managing the local government elections from Tamisemi to Inec. Under Section 10 (1) (c) of the new law, Inec’s functions will henceforth include “supervising and coordinating the conduct of local government elections in villages, mtaa and kitongoji subject to procedures to be prescribed in the law to be enacted by parliament.”

Mtaa and kitongoji in this sense mean residential groups of 10 to 12 neighbouring households. Clause 26 of the law’s miscellaneous provisions section also states that the commission will “make regulations and guidelines, and issue directives for effective implementation of its functions.”

But, since the new NEC Act came into force following President Samia Suluhu Hassan’s assent in March, no progress has been made in enacting the second law spelling out the “procedures” for INEC to conduct the neighbourhood election.

Both Chadema and ACT Wazalendo, Tanzania’s two main opposition parties, have expressed misgivings over the delay in tabling the law for parliamentary approval in time for this year’s poll, describing it as a ploy by the ruling CCM party to ensure it retains the upper hand in this election.

And on October 28, Tanzania’s High Court threw out a petition brought by three private citizens challenging Tamisemi’s continued supervision of the civic election despite the new law not giving it the mandate to fill the gap caused by the delay.

Judge David Ngunyale ruled that in the absence of the supporting law, local government elections oversight should remain unchanged from the previous legislation even though it had been repealed.

His ruling added fresh fuel to the long-standing debate on what type of impact Tamisemi and Inec’s overlapping roles have on ensuring the country’s entire elections processes move smoothly from grassroots to national levels.

An early sign of the kind of complications inherent in the present scenario was Tamisemi’s decision to sign up voters afresh for the upcoming civic ballot instead of using the Permanent National Voters Register that Inec began updating in July ahead of the general election next year.

The ministry, which operates directly under the President’s Office, last week published record voter registration figures of 31.28 million Tanzanians for the November 27 poll, with the numbers in at least five regions exceeding its own estimates based on Tanzania’s 2022 national census.

By contrast, Inec approximates its own registry update to yield an 18.7 percent increase in eligible voters from 29.75 million in 2020 to 34.7 million by 2025, after some names are removed for reasons such as death or renouncement of Tanzanian citizenship.

The electoral commission announced that it had purchased about 6,000 new, Android-programmed biometric voter registration (BVR) kits for the job, and also set up an online system for previously registered citizens to update their personal details themselves via computer or smartphone before visiting registration centres in person to obtain voter identification cards.

Tamisemi conducted its voters registration operation manually and on-the-spot, the results being delivered amid widespread claims of its registry books being padded with ineligible voters such as persons known to be dead and schoolchildren under the legal voting age of 18.

Tanzania’s 2022 national census figures indicated a total 61.4 million population across all demographics, including 28.6 million below the age of 16.

In the wake of the voter registration controversy, public attention in Tanzania has now switched to how the rest of the civic polls preparations will go, what will transpire on voting day, and the aftermath.

Continue Reading

Africa: Rwanda Gets a Grip Of Marburg, But Mpox ‘Not Yet Under Control’

Africa: Rwanda Gets a Grip Of Marburg, But Mpox ‘Not Yet Under Control’

Monrovia — The Rwanda Minister of State responsible for Health, Dr. Yvan Butera, cautioned that while the country is beginning to see positive signals in its fight against the Marburg virus, the outbreak is “not yet over”. He, however, expressed hope that  “we are headed in that direction”. The minister said the epidemiology trend, since the disease was first discovered in the country more than a month ago, is moving towards fewer cases.

Dr. Butera, who was giving updates during an online briefing yesterday, said in the past two weeks, only two deaths were recorded while 14 people recovered from the disease. He said Rwanda was expanding its testing capacity with 16,000 people already inoculated against the disease.

The priority right now, Butera said, is “rapid testing and detection”.

Marburg is a highly virulent disease transmitted through human-to-human contact or contact with an infected animal. The fatality rate of cases, which has varied over the period, is more than 50%, according to the World Health Organization.  WHO said the highest number of new confirmed cases in Rwanda were reported in the first two weeks of the outbreak. There’s been a “sharp decline” in the last few weeks, with the country now tackling over 60 cases.

At Thursday’s briefing, a senior official of the Africa Centers for Disease Control, Dr. Ngashi Ngongo, said mpox – the other infectious disease outbreak that countries in the region are fighting – was been reported in 19 countries, with Mauritius being the latest country to confirm a case. He said although no new cases have been recorded in recent weeks in several countries where outbreaks occurred previously –  including Cameroon, South Africa, Guinea, and Gabon – Uganda confirmed its first Mpox death. This, he said, is one of two fatalities reported outside Central Africa.

Dr. Ngashi revealed that there was an increase in cases in Liberia and Uganda. He said mpox cases were still on an upward trend.

“The situation is not yet under control.”

Source: allafrica.com

Continue Reading