Kipanya kumburuza Mwijaku kortini Septemba, kudai fidia ya Sh 5.5 bilioni
Mchora katuni maarufu na mtangazaji wa Clouds Media Group nchini Tanzania, Ally Masoud maarufu Masoud Kipanya, amemfungulia kesi Mtangazaji wa Crown Media Ltd, Burton Mwemba Mwijaku, akidai fidia ya Sh5.5 bilioni kwa kumkashifu na kumshushia hadhi na heshima yake kupitia maandishi aliyochapisha kwenye mitandao ya kijamii.Continue Reading