Wajiolojia wataka bodi ya usajili
Chama cha Jiolojia Tanzania (TGS) kimeitaka Serikali kuharakisha uanzishwaji wa bodi ya usajili wa wataalamu wa jiolojia wa Tanzania, kikisisitiza umuhimu wake katika kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu ya sekta ya madini yaliyoainishwa kwenye Dira ya Maendeleo ya 2030 ya Tanzania.Continue Reading