Rais Mwinyi ahofia ongezeko magonjwa yasiyoambukiza, atoa angalizo kwa jamii
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ameonya kuhusu ongezeko la magonjwa yasiyo ya kuambukiza, akisema hali ni mbaya na huenda ikazidi kuwa mbaya zaidi endapo hatua hazitachukuliwa na watu kutozingatia afya za miili yao.Continue Reading