Washirika wa ndani wasakwa ujenzi hoteli ya nyota tano Serengeti
Katika juhudi za kubadilisha taswira ya utalii wa Tanzania, Kampuni ya Maendeleo Hospitality Ventures (MHV) inayosimamiwa na kundi la wawekezaji kutoka Marekani, imetangaza mpango wa kujenga hoteli ya kifahari yenye hadhi ya nyota tano katika Kijiji cha Robanda, karibu na Lango la Fort Ikoma, Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.Continue Reading