Aliyeingia Tanzania bila kibali, atozwa faini ya Sh1 milioni

Aliyeingia Tanzania bila kibali, atozwa faini ya Sh1 milioni

Aliyeingia Tanzania bila kibali, atozwa faini ya Sh1 milioni

Dar es Salaam. Raia wa India, Devanshu Dusad (24) amehukumiwa kulipa faini ya Sh1 milioni au kutumikia kifungo cha miaka miwili jela, baada ya kupatikana na makosa mawili ikiwamo kuishi nchini Tanzania bila kibali.

Dusad amehukumiwa kifungo hicho, leo Jumanne Novemba 19, 2024, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, baada ya kukiri mashtaka yake mawili na Mahakama kumtia hatiani.

Hata hivyo, mshtakiwa huyo amefanikiwa kulipa faini hiyo na kukwepa kifungo.

Kabla ya kupewa adhabu hiyo, mshtakiwa huyo, alijitetea kuwa anaomba apunguziwe adhabu kwa sababu viza yake iliisha Oktoba na alikuwa katika utaratibu wa kutengeneza nyingine.

Akisoma hukumu hiyo, Hakimu Mkazi Mkuu, Aaron Lyamuya, amesema mshtakiwa ametiwa hatiani kama alivyoshtakiwa.

“Kutokana na mshtakiwa kukiri shtaka lake mwenyewe bila kulazimishwa, Mahakama imezingatia upande wa mashtaka hawana kumbukumbu za makosa ya nyuma dhidi ya mshtakiwa, hivyo ina kuhukumu kulipa faini ya Sh 500,000 kwa kila shtaka au kwenda gerezani miezi 12 kwa kila kosa,” amesema Hakimu.

Awali, wakili kutoka Idara ya Uhamiaji, Ezekiel Kibona aliiomba Mahakama itoe adhabu kwa mujibu wa sheria ili iwe funzo kwa raia wa kigeni kuishi nchini bila kufuata utaratibu.

Akimsomea hati ya mashtaka, Wakili Kibona alidai kuwa, mshtakiwa huyo anadaiwa kutenda kosa hilo Novemba 13, 2024 katika ofisi za Commododities Tanzania Ltd zilizopo Mtaa wa Samora, jijini hapa.

Alidai siku hiyo ya tukio, mshtakiwa akiwa raia wa India alikutwa akiishi nchini bila kuwa na nyaraka yoyote inayoonesha  ni raia wa India huku akijua kuwa kufanya hivyo ni kinyume cha sheria. 

Shtaka la pili, siku na eneo hilo akiwa raia wa India, alikutwa akifanya biashara, bila kuwa na kibali cha kazi.

Mshtakiwa baada ya kusomewa shtaka na hoja za awali (PH)alikiri kutenda kosa hilo na ndipo Mahakama ilimtia hatiani na kumhukumu

Source: mwananchi.co.tz

Original Media Source

Share this news

Facebook
Twitter
LinkedIn
WhatsApp

This Year's Most Read News Stories

ZAA to audit ground handlers
Popular
Investment News Editor

Zanzibar Airport Authority to audit ground handlers

Unguja. The Zanzibar Airports Authority (ZAA) is set to conduct an audit on ground handling companies that currently operate at the Abeid Amani Karume Airport with effect from Monday. The week-long audit is set to include Transworld, ZAT and the newcomer Dnata Zanzibar who were licensed in June plus exclusive rights to manage Terminal 3 building by ZAA.Continue Reading

Tanzania Confirms Second Marburg Outbreak After WHO Chief Visit
Tanzania Foreign Investment News
Chief Editor

Tanzania Confirms Second Marburg Outbreak After WHO Chief Visit

Dar es Salaam — Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan has declared an outbreak of Marburg virus, confirming a single case in the northwestern region of Kagera after a meeting with WHO director-general Tedros Adhanom Ghebreyesus.

The confirmation follows days of speculation about a possible outbreak in the region, after the WHO reported a number of deaths suspected to be linked to the highly infectious disease.

While Tanzania’s Ministry of Health declared last week that all suspected cases had tested negative for Marburg, the WHO called for additional testing at international reference laboratories.

“We never know when an outbreak might occur in a neighbouring nation. So we ensure infection prevention control assessments at every point of care as routine as a morning greeting at our workplaces.”Amelia Clemence, public health researcher

Subsequent laboratory tests conducted at Kagera’s Kabaile Mobile Laboratory and confirmed in Dar es Salaam identified one positive case, while 25 other suspected cases tested negative, the president told a press conference in Dodoma, in the east of the country today (Monday).

“The epicentre has now shifted to Biharamulo district of Kagera,” she told the press conference, distinguishing this outbreak from the previous one centred in Bukoba district.

Tedros said the WHO would release US$3 million from its emergencies contingency fund to support efforts to contain the outbreak.

Health authorities stepped up surveillance and deployed emergency response teams after the WHO raised the alarm about nine suspected cases in the region, including eight deaths.

The suspected cases displayed symptoms consistent with Marburg infection, including headache, high fever, diarrhoea, and haemorrhagic complications, according to the WHO’s alert to member countries on 14 January. The organisation noted a case fatality rate of 89 per cent among the suspected cases.

“We appreciate the swift attention accorded by the WHO,” Hassan said.

She said her administration immediately investigated the WHO’s alert.

“The government took several measures, including the investigation of suspected individuals and the deployment of emergency response teams,” she added.

Cross-border transmission

The emergence of this case in a region that experienced Tanzania’s first-ever Marburg outbreak in March 2023 has raised concerns about cross-border transmission, particularly following Rwanda’s recent outbreak that infected 66 people and killed 15 before being declared over in December 2024.

The situation is particularly critical given Kagera’s position as a transport hub connecting four East African nations.

Amelia Clemence, a public health researcher working in the region, says constant vigilance is required.

“We never know when an outbreak might occur in a neighbouring nation. So we ensure infection prevention control assessments at every point of care as routine as a morning greeting at our workplaces.”

The Kagera region’s ecosystem, home to fruit bats that serve as natural reservoirs for the Marburg virus, adds another layer of complexity to disease surveillance efforts.

The virus, closely related to Ebola, spreads through contact with bodily fluids and can cause severe haemorrhagic fever.

Transparency urged

Elizabeth Sanga, shadow minister of health for Tanzania’s ACT Wazalendo opposition party, says greater transparency would help guide public health measures.

“This could have helped to guide those who are traveling to the affected region to be more vigilant and prevent the risk of further spread,” she said.

WHO regional director for Africa Matshidiso Moeti says early notification of investigation outcomes is important.

“We stand ready to support the government in its efforts to investigate and ensure that measures are in place for an effective and rapid response,” she said, noting that existing national capacities built from previous health emergencies could be quickly mobilised.

The situation coincides with leadership changes in Tanzania’s Ministry of Health, with both the chief medical officer and permanent secretary being replaced.

This piece was produced by SciDev.Net’s Sub-Saharan Africa English desk.

Source: allafrica.com

Continue Reading