Siku 11 baada ya ajali ya ndege ya Precision Air nchini Tanzania, iliyoua watu 19, Ndege ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) imeshindwa kutua katika uwanja wa ndege wa Bukoba mkoani Kagera, kutokana na hali mbaya ya hewa.
Kwa mujibu wa Mwananchi Digital, Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA), Hamza Johari amethibitisha hilo na ndege hiyo ililazimika kurudi katika uwanja wa Mwanza na kutua salama.
Mbunge wa Viti Maalum, Neema Lugangira aliyekuwepo kwenye ndege ameandika kwenye mtandao wake wa twitter akieleza tukio hilo, na kutaka Serikali ibebe kwa uzito suala la uwanja wa ndege wa Bukoba.
From twitter
Novemba 6, 2022, Ndege ya Precision Air, iliyokuwa imebeba watu 43, ilidondoka katika ziwa Victoria, mita chache kutoka uwanja wa ndege wa Bukoba, na kuua watu 19, huku 24 wakinusurika.
From twitter
Share this news
This Year’s Most Read News Stories
ZSSF money not for projects, says Ali Karume
Unguja. Veteran politician and diplomat Ali Karume has called on authorities of the Zanzibar Revolutionary Government (SMZ) to refrain from using the Zanzibar Social Security Fund money for establishing commercial projects.Continue Reading
High Court rejects Transworld’s application
The High Court in Dar es Salaam has struck out an application in which Transworld Aviation, a ground handler at the Abeid Aman Karume International Airport (AAKIA) was seeking permission to sue the Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA).Continue Reading
British Investor’s $1.6 billion real estate project in Zanzibar lies in limbo
The revocation of British developer Pennyroyal’s leasehold for the construction of Blue Amber Resort by the Revolutionary Government of Zanzibar has sent shock waves in the nascent property market on the Isles.Continue Reading