Siku 11 baada ya ajali ya ndege ya Precision Air nchini Tanzania, iliyoua watu 19, Ndege ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) imeshindwa kutua katika uwanja wa ndege wa Bukoba mkoani Kagera, kutokana na hali mbaya ya hewa.
Kwa mujibu wa Mwananchi Digital, Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA), Hamza Johari amethibitisha hilo na ndege hiyo ililazimika kurudi katika uwanja wa Mwanza na kutua salama.
Mbunge wa Viti Maalum, Neema Lugangira aliyekuwepo kwenye ndege ameandika kwenye mtandao wake wa twitter akieleza tukio hilo, na kutaka Serikali ibebe kwa uzito suala la uwanja wa ndege wa Bukoba.
From twitter
Novemba 6, 2022, Ndege ya Precision Air, iliyokuwa imebeba watu 43, ilidondoka katika ziwa Victoria, mita chache kutoka uwanja wa ndege wa Bukoba, na kuua watu 19, huku 24 wakinusurika.
From twitter
Share this news
This Year’s Most Read News Stories
East African Community Bloc Dismisses Fake Common Currency
The secretariat of the East African Community (EAC) regional bloc has dismissed a post on X, formerly Twitter, which claimed that the bloc’s member countries have launched a common regional currency.Continue Reading
Zanzibar airport monopoly puts 600 jobs at risk
On September 14, 2022, the director general of ZAA issued a directive that gave Dnata Zanzibar Aviation Services Limited an exclusive access to the newly constructed Terminal III, barring other operators.Continue Reading
Zanzibar: Containers and dhows carrying alcohol stuck at Malindi Port
ZMMI, Scotch Store and One Stop Company have filed contempt of court case against Nicholas Eshalin, the chief executive officer of the Zanzibar Multipurpose TerminalContinue Reading